Tuesday, 1 August 2017

BOLT AFANANISHWA NA MUHAMMED ALI.

Rais wa Shirikisho la riadha duniani (IAAF), Sebastian Coe amesema kuwa, Usain Bolt ana kipaji na ana ushawishi mkubwa miongoni mwa wanariadha kama, Muhammed Ali alivyokuwa na ushawishi miongoni mwa mabondia.
Mwanariadha huyo raia wa Jamaica Bolt ni bingwa wa mbio fupi ambaye ameshinda medali ya dhabau katika michezo ya olimpiki mara nane anatarajiwa kustaafu baada ya mashindano ya ubingwa mjini London yalioanza siku ya Ijumaa.
Coe alimfananisha Bolt na bondia mashauri duniani, Muhammed Ali.
Source:bongo5
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...