Mkulima mmoja mkoani Manyara katika Wilaya ya Hanang,kijiji cha Balang'dalalu avamiwa na fisi kwenye zizi lake la ng'ombe usiku wa kuamkia leo,mishale ya saa nane usiku.
Fisi huyo alifanikiwa kumjeruhi vibaya ng'ombe mmoja kwa kumng'ata maeneo ya mdomoni kuelekea eneo la juu ya uso.
Mkulima huyo alisema kuwa,alishtuka baada ya kusikia kilele za ng'ombe na ndipo aliamua Kutoka nje na kuita majirani kwa ajili ya kupata msaada.Walifanikiwa kumuua fisi huyo japo alionekana kuwa mbishi kutoka ndani ya zizi.
Wakazi wa kijiji hicho wanalia kwa kupoteza mifugo yao kila kukicha kwani wanadai eneo lao lina fisi wengi sana.
Na:Esko Donald.
Instagram:esko donald
Facebook:Esko Donald.
Wednesday, 2 August 2017
SHAMBULIZI LA FISI KIJIJINI BALANG'DALALU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment