Monday, 24 July 2017

EBITOKE ADAI KUCHANGANYWA NA KISS LA KWANZA KUTOKA KWA BEN POL

Mchekeshaji kutoka Timamu Media, Ebitoke ambaye kwa sasa anadaiwa kuwa mapenzini na Rnb Super Star Bongo, Ben Pol ameelezea moment aliyokutanayo siku ya kwanza muimbaji huyo alipomkiss.
“Unajua mtu unayempenda halafu akikukiss lazima mwili usisimke kwanza, yeah mimi nilisisimka, nilisema mama!!!, nilihisi kama nipo mbinguni,” amesema Ebitoke.
Katika mahojiano na EATV alipoulizwa ex boy friend wake anachukuliaje drama zinazoelndelea kati yake na Ben Pol, mchekesaji huyo aliendelea kushikilia msimamo wake kuwa hajawahi kuwa na mtu.
“Sina boy friend na sijawahi kudate na mtu, Ben ndio wangu wa kwanza,” alisisitiza.
Source:bongo5
Na:Esko Donald

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...