Mchekeshaji kutoka Timamu Media, Ebitoke ambaye kwa sasa anadaiwa kuwa mapenzini na Rnb Super Star Bongo, Ben Pol ameelezea moment aliyokutanayo siku ya kwanza muimbaji huyo alipomkiss.
“Unajua mtu unayempenda halafu akikukiss lazima mwili usisimke kwanza, yeah mimi nilisisimka, nilisema mama!!!, nilihisi kama nipo mbinguni,” amesema Ebitoke.
Katika mahojiano na EATV alipoulizwa ex boy friend wake anachukuliaje drama zinazoelndelea kati yake na Ben Pol, mchekesaji huyo aliendelea kushikilia msimamo wake kuwa hajawahi kuwa na mtu.
“Sina boy friend na sijawahi kudate na mtu, Ben ndio wangu wa kwanza,” alisisitiza.
Source:bongo5
Na:Esko Donald
Monday, 24 July 2017
EBITOKE ADAI KUCHANGANYWA NA KISS LA KWANZA KUTOKA KWA BEN POL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment