Thursday, 20 July 2017

BEKA WA YAMOTO BAND AWEKWA CHINI YA ULINZI

Msanii wa Bongo Flava, Beka Flavour anashikiliwa na Jeshi la Polisi nchini katika kituo cha Tabata Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli kupitia mtandao.
Taarifa za awali kutoka kwa mtu wa karibu wa msanii huyo zinaeleza kuwa Beka ameshikiliwa kuanzia saa tano asubuhi baada ya kijana mmoja kuripoti kutapeliwa katika mtandao wa facebook kupitia jina la msanii huyo.
Jitihada za kumtoa zinaendelea kufanywa na watu wake wa karibu.
Taarifa zaidi Nitakujuza.
Source:Bongo5
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...