Msanii wa Bongo Flava, Beka Flavour anashikiliwa na Jeshi la Polisi nchini katika kituo cha Tabata Dar es Salaam kwa tuhuma za kutapeli kupitia mtandao.
Taarifa za awali kutoka kwa mtu wa karibu wa msanii huyo zinaeleza kuwa Beka ameshikiliwa kuanzia saa tano asubuhi baada ya kijana mmoja kuripoti kutapeliwa katika mtandao wa facebook kupitia jina la msanii huyo.
Jitihada za kumtoa zinaendelea kufanywa na watu wake wa karibu.
Taarifa zaidi Nitakujuza.
Source:Bongo5
Na:Esko Donald.
Thursday, 20 July 2017
BEKA WA YAMOTO BAND AWEKWA CHINI YA ULINZI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment