Saturday, 6 May 2017

DIAMOND KULITEKA SOKO.

Msanii wa kizazi kipya 'Diamond Platinum' ameingia kwenye mining'ono ya vinywa vya Watanzania wengi kutokana na kuja na bidhaa yake ya perfume ijulikanayo kwa jina la "CHIBU PERFUME".Amesema ilimchukia takribani miaka miwili kufanikisha hili.Aliongeza na kusema kuwa bidhaa yake ina ubora wa hali ya juu ukilinganisha na perfume zingine.Bidhaa hiyo ambayo imetengenezwa nchini Dubai inauzwa Sh.105000.Kwa mujibu wa yeye mwenyewe alisema bei hii imezingatia na ubora wa bidhaa yenyewe.
Kwa sasa CHIBU PERFUME inafanya vizuri sokoni tofauti na mategemeo ya wengi.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...