Msanii wa kizazi kipya 'Diamond Platinum' ameingia kwenye mining'ono ya vinywa vya Watanzania wengi kutokana na kuja na bidhaa yake ya perfume ijulikanayo kwa jina la "CHIBU PERFUME".Amesema ilimchukia takribani miaka miwili kufanikisha hili.Aliongeza na kusema kuwa bidhaa yake ina ubora wa hali ya juu ukilinganisha na perfume zingine.Bidhaa hiyo ambayo imetengenezwa nchini Dubai inauzwa Sh.105000.Kwa mujibu wa yeye mwenyewe alisema bei hii imezingatia na ubora wa bidhaa yenyewe.
Kwa sasa CHIBU PERFUME inafanya vizuri sokoni tofauti na mategemeo ya wengi.
Na:Esko Donald.
Saturday, 6 May 2017
DIAMOND KULITEKA SOKO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment