Watu saba wameuawa kwa kupigwa risasi mjini Dallas, Texas nchini Marekani na wengine wawili wamejeruhiwa.
Inadaiwa kuwa watu hao kabla ya kupigwa risasi na kuuawa walikuwa wakiangalia mpira katika jumba lifahamikalo kama Plano. Hata hivyo mtuhumiwa aliuawa na polisi wa kwanza ambaye aliwahi kufika katika eneo la tukio.
Bado haijafahamika sababu ya mtu huyo kufanya mauaji hayo.
Wakati huo huo jeshi la polisi mjini humo kupitia kwa ofisa wake, David Tilley, amesema bado wanaangalia suala hili kwa kina zaidi.
Source:bongo5
Na:Esko Donald.
Monday, 11 September 2017
SABA WAUAWA WA KUPIGWA RISASI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment