Ni kumbukumbu ya shambulizi la kigaidi lililoua maelfu ya watu nchini Marekani
Shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Marekani septembe 11 mwaka 2001.
Ni miaka 16 ya kumbukizi ya tukio la shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Marekani septembe 11 mwaka 2001 lililoua watu takribani 3000.
Katika muendelezo wa kutafuta wahusika wa tukio hilo, licha ya kikundi cha Alqaida kuwa mshtumiwa wa kwanza bado Marekani inaituhumu nchi ya Saudi Arabia kufadhili washambuliaji wa tukio hilo.
Marekani imesema serikali ya Saudi Arabia ilifadhili vikundi vya kigaidi kutoka mataifa mawili ya kiarabu ambavyo miaka miwili kabla ya tukio vilikua vikipangana namna ya kufanya shambulio hilo lililotokea kati kati ya minara ya biashara.
Hata hivyo serikali ya Saudi Arabia inaendelea kupinga kuhusika kabisa na mkasa huo.
Source:tbc
Na:Esko Donald.
Monday, 11 September 2017
HII NI KUMBUKUMBU NZITO ISIYOSAHAULIKA MAREKANI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment