Monday, 11 September 2017

HII NI KUMBUKUMBU NZITO ISIYOSAHAULIKA MAREKANI.

Ni kumbukumbu ya shambulizi la kigaidi lililoua maelfu ya watu nchini Marekani
Shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Marekani septembe 11 mwaka 2001.
Ni miaka 16 ya kumbukizi ya tukio la shambulizi la kigaidi lililotokea nchini Marekani septembe 11 mwaka 2001 lililoua watu takribani 3000.
Katika muendelezo wa kutafuta wahusika wa tukio hilo, licha ya kikundi cha Alqaida kuwa mshtumiwa wa kwanza bado Marekani inaituhumu nchi ya Saudi Arabia kufadhili washambuliaji wa tukio hilo.
Marekani imesema serikali ya Saudi Arabia ilifadhili vikundi vya kigaidi kutoka mataifa mawili ya kiarabu ambavyo miaka miwili kabla ya tukio vilikua vikipangana namna ya kufanya shambulio hilo lililotokea kati kati ya minara ya biashara.
Hata hivyo serikali ya Saudi Arabia inaendelea kupinga kuhusika kabisa na mkasa huo.
Source:tbc
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...