Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo zimefanywa na Director huyu siku za nyuma.Kwa kipindi kirefu Nisher ameonekana kuwa kimya sana huku soko likitekwa na Directors wengine kama vile Hanscana,Kwetu studio,Khalfani na wengine wengi.
Tunaweza kusema kimya kingi kina mshindo,hii ni kutokana na Nisher kuposti picha masaa machache yaliyopita kupitia ukurasa wake wa Instagram ikimuonyesha akiwa Location sambamba na Camera zenye thamani kubwa.Pengine huu ndio unaweza kuwa ndio ujio wake mpya,ebu tusubiri tuone.
Na:Esko Donald.
Instagram @esko donald.
Facebook @esko donald.
Saturday, 1 July 2017
PENGINE NISHER ANAKUJA KUWATOA MACHOZI AKINA HANSCANA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment