Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa uwezo wa akili ya watoto shuleni unategemea sana na kiwango cha elimu cha mama.
Aidha, watoto wenye mama mwenye elimu hufaulu zaidi kuliko wale wenye mama asiye na elimu na ufaulu huongezeka kulingana na kiwango cha elimu cha mama.
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment