Thursday, 29 June 2017

DIAMOND HAWA MUUZA KARANGA.

Mkali wa Bongo flavour Diamond Platinum baada ya bidhaa yake ya Chibu Perfume,sasa hivi amekuja na DIAMOND KARANGA.
Kupitia mitandao ya kijamii Diamond ameandika haya,

"Am glad to inform you that today have launched my new Product called @DiamondKaranga (Diamond Peanuts)  which will be available in East Africa for 300/= Tanzanian Shilling retail Price and 20,000/= Wholesale Price .....
(Leo nimezindua Bidhaa yangu mpya iitwayo @Diamondkaranga ambayo itakuwa inapatikana Madukani kote Africa Mashariki nzima kwa shilingi miatatu tu (300/=) bei ya rejareja kwa pakiti moja... na shilingi elf ishirini (20,000) kwa boksi moja  lenye pakiti Mia moja (100)  ndani ambazo ukiuza unapata faida ya elf kumi... Karanga hizi nazinunua kwa wakulima kutoka mikoa ya DODOMA, MTWARA,  TABORA n.k.... kisha kuziongezea njonjo na kuzipakia katika pakiti za kisasa, ili mtu mwenye hadhi yoyote aweze kutembea nazo popote atakapo... ) usiseme tena Karanga sema DIAMOND KARANGA!!!!"
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...