Rais Donald Trump wa Marekani ametajwa kama Rais asiyekubalika zaidi kuwahi kuchaguliwa na Taifa hilo takwimu zikionesha zaidi ya 80% ya wananchi hawampendi na zaidi ya 40% ya waliomchagua kujutia uamuzi wao, kwa mujibu wa Taasisi ya utafiti ya Pew Research Center.
Utafiti huo pia umeonesha Rais Trump ameisababishia Marekani kupoteza nguvu na ushawishi duniani ambapo zaidi ya nchi 37 zilizohusishwa kwenye utafiti huo ni nchi mbili pekee Urusi na Israel zilionesha kumkubali Rais huyo.
Sababu kubwa ziliyotajwa Trump kutokubalika ukilinganisha na mtangulizi wake Barack Obama ni sera yake ya kuwafukuza wahamiaji na kujenga ukuta kuitenganisha nchi yake na Mexico.
Aidha, Utafiti umeonesha kuwa Rais mstaafu Obama bado anakubalika kwa 90% katika ardhi ya Korea Kusini na Trump akikubalika kwa 10% huku Israel ikionekana kumkubali zaidi Trump kwa 56% huku Obama akikubalika kwa 49%.
Na:Esko Donald.
Wednesday, 28 June 2017
MFAHAMU RAIS ASIYEKUBALIKA ZAIDI DUNIANI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment