Watu 123 wamethibitishwa kufa, baada ya lori lililokuwa likibeba mafuta na lililopata ajali ya barabarani kushika moto na kuteketea nchini Pakistan.
Janga hilo limefanyika katika mji wa Ahmedpur Sharqia katika jimbo la Punjap; hayo ni kwa mjibu wa viongozi wa serikali.
Watu wengine kadhaa wameteketea vibaya, pale walipokuwa wakijaribu kuteka mafuta kutoka katika lori hilo la mafuta.
Waliojeruhiwa wanatibiwa hospitali. Wazima moto wamo katika eneo la ajali wakijaribu kukabiliana na moto huo.
Taarifa ambazo bado hazijathibitishwa zasema kuwa, lori hilo la mafuta lililokuwa likiendeshwa kwa kasi, lilipinduka, kuanguka na kisha kushika moto.
Mashuhuda wanasema kuwa, baadhi ya watu waliofika katika eneo la ajali walikuwa wakivuta sigara, jambo ambalo linakisiwa kuwa chanzo cha moto huo, hiyo ni kwa mjibu wa runinga ya Geo TV ya Pakistan.
Source:Bongo5
Na:Esko Donald.
Sunday, 25 June 2017
RAIA 123 WATEKETEA KWA MOTO,PAKISTAN.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment