Monday, 11 September 2017

MHE.LOWASSA AMTEMBELEA LISSU HOSPITAL NAIROBI.

Waziri Mkuu wa zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, Edward Lowassa amewasili Nairobi nchini Kenya kumjulia hali Mbunge wa Singida Mashariki,Tundu Lissu aliyeshambuliwa kwa kupigwa risasi ambaye kwasasa ana patiwa matibabu katika Hospitali ya Aga Khan nchini humo.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...