Friday, 15 September 2017

HUYU HAPA ALIYECHUKUA NAFASI YA ZARI.

Ikulu ya Madale ni patashika nguo kuchanika,Sahau kuhusu mrembo Hamisa Mobetto na wengine, kwa sasa ni mshindi wa BBA(Big Brother Africa) mwaka 2013 (The Chase) Dillish Mathews ndio habari ya mjini kwa sasa. Mrembo huyo ambaye ni raia wa nchini Namibia anadaiwa kuuingilia penzi la Zari The Bosslady kwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu mzima Diamond Platinum.Mfahamu zaidi mrembo huyo kwa kutazama hizi picha hapa chini.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...