Saturday, 16 September 2017

MAJANGA MAKUBWA YAMKUTA ZITTO KABWE.

Majanga makubwa yamemkuta Mbunge  wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe baada ya nyumba yake iliyopo Kibingo, Kata ya Mwandiga mjini Kigoma kuungua kwa moto.

Akiongea na ITV kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui amethibitisha kuteketea kwa nyumba hiyo zikiwemo mali zilizomo ndani ya nyumba hiyo.
Chanzo:ITV
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...