Majanga makubwa yamemkuta Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe baada ya nyumba yake iliyopo Kibingo, Kata ya Mwandiga mjini Kigoma kuungua kwa moto.
Akiongea na ITV kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi mkoa wa Kigoma Ferdinand Mtui amethibitisha kuteketea kwa nyumba hiyo zikiwemo mali zilizomo ndani ya nyumba hiyo.
Chanzo:ITV
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment