Friday, 18 August 2017

PEMBE ZA NDOVU ZAPATIKANA KWENYE MOJA YA GHALA MBEZI BEACH.

Hatimaye jeshi la Polisi jijini Dar es salaam limekamata pembe za Ndovu zipatazo 21 katika moja ya ghala lililopo maeneo ya Mbezi Beach jijini humo huku watu sita wakiwekwa mbaroni kwa tuhuma za kuhusishwa na pembe hizo.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...