Msanii wa Hip Hop nchini,Roma Mkatoliki amesema kuwa baada ya kupata matatizo kuna maneno mengi alikuwa akiambiwa na watu mbalimbali ambayo yangeweza kumgombanisha na watu wake wa karibu.Aliyasema haya alipokuwa anahojiwa na Ayo TV na kusema kuwa yalizuka maneno ambayo yalidai kuwa waliohusika kusuka tukio zima la kutekwa kwake ni watu wake wa karibu,na kama angejaribu kuyaamini angegombana na rafiki Zake wa karibu.
Na:Esko Donald.
Wednesday, 23 August 2017
NILIAMBIWA WABAYA WANGU NI RAFIKI ZANGU_ROMA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment