Thursday, 31 August 2017

NYIMBO MPYA:DIAMOND X PATORANKING

Ile kolabo kali iliyowahusisha wakali wawili,yaani Diamond Platinum kutoka Tanzania na Patoranking kutoka Nigeria ni leo.Muda wowote kuanzia sasa nyimbo hiyo itakuwa hewani,kaa mkao kula shabiki mpenda mziki mzuri.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...