Ile kolabo kali iliyowahusisha wakali wawili,yaani Diamond Platinum kutoka Tanzania na Patoranking kutoka Nigeria ni leo.Muda wowote kuanzia sasa nyimbo hiyo itakuwa hewani,kaa mkao kula shabiki mpenda mziki mzuri. Na:Esko Donald.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...
No comments:
Post a Comment