Friday, 18 August 2017

IDADI YA WALIOFARIKI SIERRA LEONE NI ZAIDI YA 400.

Umoja wa Mataifa UN umesema idadi ya watu waliofariki Nchini Sierra Leone baada ya kutokea Mafuriko katika Mji mkuu wa Nchini hiyo huitwao Freetown ni zaidi ya 400 huku wengine wakikadiriwa kufikia 600 hawajapatikana.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...