Wauguzi wawili wa Hospitali ya wilaya ya Manyoni mkoani Singida wamesimamishwa kazi baada ya kumuacha mtoto wa miezi minne na kamba ya kufungia dripu mkononi kwa masaa 4 hali iliyopelekea mkono wa kushoto wa mtoto huyo kuoza na huenda akakatwa vidole au mkono huo.
Kitaalamu hali hii ya kuoza kwa mkono imesababishwa na kukosekana oxygen ya kutosha katika eneo ambalo juu yake kulikuwa na kamba hiyo.Oxygen hufika maeneo mbali mbali mwilini kwa kusafirishwa kupitia kwenye damu.Kitendo cha kumuacha na kamba ya kufungia dripu ilipelekea kukosekana damu ya kutosha katika eneo husika,kitaalamu kitendo hiki kinaitwa Ischemia.
Na:Esko Donald.
Duuu pole kwa mwenye mtoto,,,, polen wauguzi pia maana nadhan n bahat mbaya tu
ReplyDeleteHakuna apenday kuumiz kwa kusudi pasipo sabb
Mungu wa mbinguni akuponye mtoto akufanyie wepesi pale palipo pagumu,,,,, Amen
Delete