Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo amepata watoto wawili mapacha kutoka kwa mpenzi wake wa siri.
Taarifa kutoka kwenye kituo cha runinga cha SIC zimeeleza kuwa watoto hao mapacha walizaliwa Alhamisi ya wiki iliyopita na majina ya watoto hao ni Mateo na Eva .
Licha ya taarifa hizo kuzagaa, Ronaldo bado ameendelea kuliweka jambo hilo kuwa siri kama ilivyo kuwa kwa mtoto wake wa kwanza, Ronaldo Jr.
Kwasasa Ronaldo yupo na mpenzi wake mwanamitindo wa Kihispania aitwaye, Georgina Rodriguez ambaye hivi karibuni ilielezwa kuwa ni mjamzito.
Source:bongo 5
Na:Esko Donald.
Monday, 12 June 2017
RONALDO APATA WATOTO MAPACHA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment