Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe amesikitishwa na hali duni ya maisha ya jamii ya Wahadzabe, Watindiga na Watatoga wanaoishi katika Bonde la Yaeda Chini Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara.
Prof Maghembe amesema haiwezekani jamii hiyo ikaendelea kuishi kwa kula Unga wa Mibuyu, Mizizi na Wanyamapori wakati kila siku watalii wanaenda katika bonde hilo kuangalia jamii hiyo.
Katika risala yao iliyosomwa na Daines Naftari mwanajamii ya Wahadzabe wamesema Majangili wamesababisha kutoweka kwa Wanyamapori wanaowatumia kama kitoweo chao na ukame ukitajwa kusababisha njaa.
Source:tbc
Na:Esko Donald.
Monday, 12 June 2017
PROF.MAGHEMBE AYASIKITIKIA MAISHA YA WAHADZABE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment