Filamu ya ‘All Eyes On Me’ iliyotengenezwa kwa ajili ya kuonesha maisha halisi ya marehemu Tupac Shakur imetoka rasmi.
‘All Eyes On Me’ iliyozinduliwa juzi na hatimaye siku ya Jana kupitia kituo cha runinga cha HBO ikaanza kuruka, Filamu hiyo ilianza kutengenezwa tangu mwaka jana katika miji mbali mbali ikiwemo Altanta, Sin City na mingineyo nchini Marekani huku ikiwa chini ya mtayarishaji, L.T. Hutton.
Kijana aitwaye Demetrius Shipp Jr. ameigiza katika filamu hiyo kama Tupac huku Danai Gurir akiigiza nafasi ya Afeni Shakur ambaye ni mama mzazi wa rapper huyo ambaye alifariki mwezi Mei, mwaka jana.
Siku ya kuachiwa filamu ya maisha ya Tupac yatajwa rasmi
Tupac alipigwa risasi baada ya kutoka katika pambano la ndondi kati ya Mike Tyson na Bruce Seldon, Septemba 7, 1996. Na alifariki dunia Septemba 23 mwaka huo baada ya kupoteza damu nyingi.
Source:Bongo 5
Na:Esko Donald
Friday, 16 June 2017
FILAMU YA ALL EYES ON ME YA TUPAC YATOKA RASMI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment