Kama ni shabiki wa soka la Tanzania hususani Dar es salaam Young Africans wana Jangwani najua utakuwa umfahamu vizuri shabiki maarufu wa Yanga ambaye amekuwa na utamaduni wa kuifuata timu mahali popote inapokwenda (Ally Yanga) .
Taarifa ya kusikitisha kuhusiana na
Ally Yanga inasema kuwa amefariki dunia katika ajali ya gari huko mkoani Dodoma eneo la Ipogolo.Ally Yanga imeripotiwa kuwa alikuwa katika mbio za Mwenge.
Na:Esko Donald.
Instagram@Esko Donald
Facebook@Esko Donald
Tuesday, 20 June 2017
SHABIKI DAMU WA YANGA AFARIKI DUNIA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment