Kiungo wa zamani wa timu ya Newcastle United na timu ya Taifa ya Ivory Coast Cheki Tiote aliefariki dunia nchini China amezikwa kwenye mji wa kibiashara wa Abidjan.
Tiote aliyekuwa akiichezea timu ya Beijing Enterprises alikutwa na mauti wakati akiwa mazoezi.
Maziko hayo yamehuhuriwa na waziri mkuu wa nchi hiyo Amadou Gon Coulibaly, waziri wa michezo Albert Amichia na rais wa shirikisho la soka la nchi hiyo Augustin Sidy Diallo huku baadhi ya nyota wa soka wa nchi hiyo wakiwemo Salomon Kalou pamoja na mshambuliaji anaecheza soka England Wilfred Bony ambapo wachezaji wote waliweza kuelezea masikitiko ya kifo hicho na namna walivyocheza na marehemu katika michezo mbali mbali.
Source:tbc
Na:Esko Donald
Tuesday, 20 June 2017
TIOTE AZIKWA MJINI ABIDJAN.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment