Naaam,habari yako ndugu msomaji,nadhani wote tunafahamu kuwa katika jamii zetu kumekuwa na utamaduni wa kutokufanya mazoezi hususani akina Mama wajawazito.Mama mjamzito huwa katika hali hii kwa muda wa miezi tisa ambapo anashauriwa kufanya mazoezi kwa kipindi hicho.
Zifuatazo ni baadhi ya faida za kufanya mazoezi kwa Mama mjamzito,
1.Humuongezea nguvu.
2.Husaidia kumpa usingizi mzuri.
3.Humfanya ajisikie vizuri muda wote.
4.Humuandaa kwa ajili ya kujifungua bila matatizo yeyote.
5.Uchochea muonekano mzuri.
6.Baada ya kujifungua, mwili wa Mama ujirudi kwenye hali yake ya awali kwa haraka mno.
7.Upunguza uzito.
8.Uboresha kinga ya mwili.
Na:Esko Donald.
Instagram@Esko Donald.
Facebook@Esko Donald.
Tuesday, 20 June 2017
FAIDA YA MAZOEZI KWA MAMA MJAMZITO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment