Tuesday, 20 June 2017

FAIDA YA MAZOEZI KWA MAMA MJAMZITO.

Naaam,habari yako ndugu msomaji,nadhani wote tunafahamu kuwa katika jamii zetu kumekuwa na utamaduni wa kutokufanya mazoezi hususani akina Mama wajawazito.Mama mjamzito huwa katika hali hii kwa muda wa miezi tisa ambapo anashauriwa kufanya mazoezi kwa kipindi hicho.
Zifuatazo ni baadhi ya faida za kufanya mazoezi kwa Mama mjamzito,
1.Humuongezea nguvu.
2.Husaidia kumpa usingizi mzuri.
3.Humfanya ajisikie vizuri muda wote.
4.Humuandaa kwa ajili ya kujifungua bila matatizo yeyote.
5.Uchochea muonekano mzuri.
6.Baada ya kujifungua, mwili wa Mama ujirudi kwenye hali yake ya awali kwa haraka mno.
7.Upunguza uzito.
8.Uboresha kinga ya mwili.
Na:Esko Donald.
Instagram@Esko Donald.
Facebook@Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...