Thursday, 10 August 2017

BILL GATES AMIMINA MAPESA TANZANIA

Hii ni taarifa njema kwako Mtanzania. Taasisi ya Bill & Melinda Gates Foundation imetenga Dola za Marekani 350 sawa na takribani shillingi Billioni 777.084 za Tanzania Kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali katika sekta ya Kilimo, afya na mifumo ya kielektroniki ya upatikanaji wa taarifa.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...