Dirisha la usajili kwa Arsenal lilitawaliwa na wachezaji wanaotoka kuliko wanaoingia. Arsene Wenger amewashuhudia Alex Oxlade-Chamberlain, Kieran Gibbs, Wojciech Szczesny na Gabriel Paulista wakiondoka klabuni hapo, wakati Alexis Sanchez akiendelea kubaki baada ya kushindwa kutimkia Manchester City.
Arsenal walifanikiwa kumsajili Sead Kolasinac, beki wa kushoto kutoka FC Schalke kwa uhamisho huru.
Kolasinac aliingia kwenye kikosi bora cha Bundesliga msimu uliopita ataongeza nguvu kwenye kikosi cha Arsenal na ni mtu mwenye mapafu ya chuma.
Umahiri alioonyesha kwenye mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Chelsea unaashiria kwamba ataifaa klabu ya Arsenal.
Na:Esko Donald.
Source:Goal.com
Friday, 1 September 2017
KOLASINAC ATUA ARSENAL BUREE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment