Naaam,habari yako mpenzi msomaji.Uuzaji wa kahawa au biashara ya kuuza kahawa imekuwa ikipanda chati kila kukicha.Mkoa wa Tanga umekuwa ni moja kati ya Mikoa ambayo biashara hii inafanyika.Kwa kuthibitisha hili kila ifikapo mishale ya jioni utaona sehemu tofauti tofauti pembezoni mwa barabara kukiwa na meza za kahawa.Wapenzi wakubwa wa kinywaji hiki usema kuwa,ili kufaidi utamu wa kahawa sharti ushushie na kipande cha kashata ambacho huongeza ladha mdomoni mwa mtumiaji.Wengine huongeza kwa kusema kuwa,ili kinywaji hiki kilete ladha zaidi sharti kutawale mazungumzo ya ubishi miongoni mwa watumiaji.
Utafiti umeonyesha kuwa asilimia kubwa ya watumiaji wa kinywaji hiki wa watu wazima tofauti na vijana.
Vipi kuhusu wewe Mdau,mara ya mwisho kutumia Kahawa ilikuwa ni lini?
Na:Esko Donald.
Saturday, 8 July 2017
JE WEWE NI MTUMIAJI WA KAHAWA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment