Dunia ya sasa hivi imewekwa mkononi na teknolojia hususani kwenye matumizi ya simu.Asilimia kubwa ya watu hutumia simu za mikononi kwa ajili ya mawasiliano.
Leo nimekuletea simu yenye gharama zaidi kuliko zote duniani kwa mwaka huu ambayo imetengenezwa na kampuni la Apple.Simu hii inaitwa Diamond Rose iPhone 4 32GB yenye gharama ya Dola za Kimarekani million 8.Thamani ya simu hii inashika chati kutokana na simu hii kutengenezwa kwa material ya Almasi yenye thamani ya juu.
WASIFU WAKE,
Weight 140g(4.94 02)
Memory 32 GB,512 RAM
Display 3.5 inches
Camera 8 MP Back,Front 2 MP
Software IOS 4.0
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment