The Fate of the Furious ni movie iliyoandikwa na Chris Morgan huku bajeti yake ikikadiriwa kufikia dola million 250.Movie hii imeingizwa rasmi sokoni mnamo April 4,2017.Ukizungumzia movie inayofanya vizuri kwa sasa uwezi kuacha kuitaja The Fate of the furious(Au kwa jina jingine unaweza kuiita Fast and Furious 8 na Fast 8).
Kama bado haujapata nafasi ya kuitazama movie hii,ni wakati wa kufanya hivyo.Taarifa nyingine zinadai kuwa Fast and Furious 9 itatoka April 19,2019.
Na:Esko Donald.
Monday, 8 May 2017
FATE 8 YAWASHA MOTO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment