Monday, 15 May 2017

EBOLA KWA MARA NYINGINE,SASA NI DRC.

Shirika la Afya Duniani(WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa Ebola umezuka katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kusemekana kuwa kuna vifo vya watu watatu waliohusishwa kufa kwa ugonjwa huo.Shirika hilo limeanza kuchukua hatua dhidi ya ugonjwa huo.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...