Tuesday, 8 August 2017

JIONEE MAAJABU KUTOKA TIGO.

Tigo wamekuletea simu nyingine yenye upekee wa aina yake.Hii ni TECNO Camon  CX 4G yenye kamera ya mbele 16MP na pia ina Memory yenye 16 GB,2 GB.
Ni kwa 399,900 TZS unapata hii simu.Haiishii hapo kwani kwa kununua simu hii kutoka Tigo utapata 1GB kwa ajili ya Internet kwa kila mwezi ndani ya miezi mitatu.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...