Tigo wamekuletea simu nyingine yenye upekee wa aina yake.Hii ni TECNO Camon CX 4G yenye kamera ya mbele 16MP na pia ina Memory yenye 16 GB,2 GB.
Ni kwa 399,900 TZS unapata hii simu.Haiishii hapo kwani kwa kununua simu hii kutoka Tigo utapata 1GB kwa ajili ya Internet kwa kila mwezi ndani ya miezi mitatu.
Na:Esko Donald.
Tuesday, 8 August 2017
JIONEE MAAJABU KUTOKA TIGO.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment