Mbunge wa Geita Vijijini Joseph Kasheku anayejulikana kwa jina la Msukuma, ametaka Tangazo la Tigo la Jaza Ujazwe lisitishwe kwa kuwa linaleta maana mbaya kwa kiswahili na tamaduni za kitanzania
Naibu Spika Tulia Ackson amesema TCRA ndio wanahusika na hilo na watachukua hatua stahiki kama itatakiwa
Amewataka pia wabunge kuwa makini kwa kuwa kuna matangazo mengine ni feki yenye lengo la kuharibu sifa za kampuni kwa sababu za kibiashara
Na:Esko Donald.
Saturday, 3 June 2017
"JAZA UJAZWE" YALETA UTATA BUNGENI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment