Saturday, 3 June 2017

PICHA YA BECKHAM NA BINTI YAKE,SERENGETI YAZUA UTATA HADI KWAO.

Jina la staa wa soka wa zamani wa kimataifa wa England David Beckham limezidi kuchukua headlines baada ya wiki hii kuonekana akiwa Tanzania katika hifadhi ya Serengeti akiwa pamoja na familia yake watoto wake wanne na mkewe Victoria wakila bata.

Ilijulikana kuwa Beckham yupo Tanzania baada ya kusambaa kwa video fupi akionekana Beckham na familia yake Airport Dar es Salaam,
Beckham amepiga picha kadhaa na kuzipost instagram akiwa Serengeti lakini picha na mtoto wake wa mwisho Harper imekuwa topic.
Picha aliyopiga David Beckham akimkiss mtoto wake Harper Seven katika lips baadhi ya mashabiki wanaomfollow wameonekana kuikosoa na kuona haipo katika maadili na wengine wakiona haina shida, mjadala ambao umeendelea hadi mtandao wa mirror.co.uk wa
England ambapo ndio kwao na David Beckham.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...