Mkali wa Bongo flavour aliyewahi kutamba na nyimbo yake 'Kazi ya Dukani',amefariki leo katika hospitali ya Muhimbili.Mmiliki wa Sobber House alikokuwa akisaidiwa ili kuachana na utumiaji wa dawa za kulevya amesema,Dogo Mfaume alikuwa afanyiwe upasuaji Ijumaa kutokana na uvimbe kwenye ubongo na alikuwa tayari ameshapangwa kwenye ratiba.
Ameongeza na kusema kuwa,Afya yake ilikuwa nzuri kabisa na alikuwa ana mwaka mmoja tangu ameacha matumizi ya dawa za kulevya 'UNGA' na walikuwa tayari wamejiandaa kwenda kumtolea damu.
R.I.P Dogo Mfaume.
Na:Esko Donald.
Wednesday, 17 May 2017
DOGO MFAUME AKUTWA NA UMAUTI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment