Wednesday, 17 May 2017

DOGO MFAUME AKUTWA NA UMAUTI.

Mkali wa Bongo flavour aliyewahi kutamba na nyimbo yake 'Kazi ya Dukani',amefariki leo katika hospitali ya Muhimbili.Mmiliki wa Sobber House alikokuwa akisaidiwa ili kuachana na utumiaji wa dawa za kulevya amesema,Dogo Mfaume alikuwa afanyiwe upasuaji Ijumaa kutokana na uvimbe kwenye ubongo na alikuwa tayari ameshapangwa kwenye ratiba.
Ameongeza na kusema kuwa,Afya yake ilikuwa nzuri kabisa na alikuwa ana mwaka mmoja tangu ameacha matumizi ya dawa za kulevya 'UNGA' na walikuwa tayari wamejiandaa kwenda kumtolea damu.
R.I.P Dogo Mfaume.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...