Mkoani Tanga,katika wilaya ya Muheza,Lusanga,kumetokea ajali mbaya iliyohusisha basi aina ya Coaster likitokea Tanga kuelekea Wilayani Korogwe limegonga Lori kwa nyuma na kusababisha vifo.Taarifa za awali zinasema watu wanne wamefariki hapo hapo ila waokoaji bado walikuwa wanaendelea na zoezi la uokoaji hivyo kuna uwezekano wa vifo kuongezeka.Maafa haya yametokea usiku huu.Taarifa zaidi nitakujuza.
Na:Esko Donald.
Sunday, 7 May 2017
BREAKING NEWS:DAMU YAMWAGIKA MKOANI TANGA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
TANZANIA tusimame imara tumuombe MUNGU atusaidie hii si hali y kawaida waefeso 6:10-14
ReplyDelete