Kijana mmoja mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina la Erick Mallya anusuruka kuvunjwa mkono na Ng'ombe wakati anaendelea na zoezi zima la ukamuaji.Tukio hili limetokea mapema asubuhi ya leo katika chuo cha mifugo kiitwacho LITA_Buhuri.Taarifa zinasema kuwa,wakati kijana huyu anaanza kukamua,ghafla alishuhudia teke zito likirushwa kuelekea maeneo ya mkono wake wa kushoto.Hali hii ilisababisha kijana huyu kujinasua kwa haraka sana kutoka kwa ng'ombe huyo kwa ajili ya Usalama wake.Inasemekana hali hii ilisababishwa na kitendo cha kusahau kuifunga miguu ya nyuma ya ng'ombe huyo.
Na:Esko Donald.
Instagram @esko donald.
Tuesday, 18 July 2017
ANUSURIKA KUVUNJWA MKONO NA NG'OMBE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment