Tuesday, 18 July 2017

ANUSURIKA KUVUNJWA MKONO NA NG'OMBE.

Kijana mmoja mkoani Tanga aliyefahamika kwa jina la Erick Mallya anusuruka kuvunjwa mkono na Ng'ombe wakati anaendelea na zoezi zima la ukamuaji.Tukio hili limetokea mapema asubuhi ya leo katika chuo cha mifugo kiitwacho LITA_Buhuri.Taarifa zinasema kuwa,wakati kijana huyu anaanza kukamua,ghafla alishuhudia teke zito likirushwa kuelekea maeneo ya mkono wake wa kushoto.Hali hii ilisababisha kijana huyu kujinasua kwa haraka sana kutoka kwa ng'ombe huyo kwa ajili ya Usalama wake.Inasemekana hali hii ilisababishwa na kitendo cha kusahau kuifunga miguu ya nyuma ya ng'ombe huyo.
Na:Esko Donald.
Instagram @esko donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...