Rais wa Jamhuri ya Muungano Mh.John Pombe Magufuli ameipokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya vifo vya wanafunzi 32,wakiwemo walimu wawili na dereva.Ametuma salamu za rambi rambi kuonyesha kuguswa na hili.
Ajali hii ilitokea baada ya basi walilopanda wanafunza hawa kuacha njia na kuangukia kwenye Korongo,Karatu mkoani Arusha walipokuwa wanaenda kufanya mtihani wa ujirani mwema kwenye shule inayofahamika kwa jina la Tumaini.
Wanafunzi hawa wa darasa la saba waliopata ajali ni wanafunzi kutoka shule ya msingi ya Lucky Vicent.
Na:Esko Donald.
Saturday, 6 May 2017
RAIS ATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment