Sunday, 21 May 2017

BEN POL AFUNGUKA KUHUSU PICHA YAKE YA UTUPU KUZAGAA MTANDAONI

Mkali wa RNB nchini Ben Pol baada ya picha yake ya utupu kuzagaa mtandaoni,watu wengi wameonekana kulizungumzia hili suala kwa sura tofauti.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ben Pol amefunguka na kuandika "Usi_judge kitabu kama haujakisoma".
Inasemekana kuna ujio mpya kutoka kwa Msanii huyu,ni nyimbo ijulikanayo kwa jina la "Mateka" na ndani ya nyimbo hiyo ameshirikishwa msanii Darassa.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment

JIFUNZE KUPITIA HADITHI.

…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...