Mkali wa RNB nchini Ben Pol baada ya picha yake ya utupu kuzagaa mtandaoni,watu wengi wameonekana kulizungumzia hili suala kwa sura tofauti.Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ben Pol amefunguka na kuandika "Usi_judge kitabu kama haujakisoma".
Inasemekana kuna ujio mpya kutoka kwa Msanii huyu,ni nyimbo ijulikanayo kwa jina la "Mateka" na ndani ya nyimbo hiyo ameshirikishwa msanii Darassa.
Na:Esko Donald.
Sunday, 21 May 2017
BEN POL AFUNGUKA KUHUSU PICHA YAKE YA UTUPU KUZAGAA MTANDAONI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
JIFUNZE KUPITIA HADITHI.
…JESCA…… Episode 4 Na:Esko Donald Esko Wa Simulizi 'EWS' Whatsapp:0675730796 Ilipoishia… Kwa muda huo watu wote walikuwa wapo ...

-
Linapojatwa jina la Director Nisher bila shaka itakuwa unakumbuka video ya nyimbo ya Young D "Kijukuu" na nyingine nyingi ambazo z...
-
Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Jesca binti wa Kimasai mwenye rangi ya bahati kuliko mabinti wote kijijini kwao alikuwa ni...
-
Madrid yafanikiwa kuandika historia mpya baada ya kulichukua kombe hili mara mbili mfululizo.
-
Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zai...
-
……JESCA…… Episode ya 2 Na:Esko Donald. Esko Wa Simulizi 'EWS'. Whatsapp:0675730796. Ilipoishia.. BAADA YA MIAKA MITATU. Jesca...
No comments:
Post a Comment