Baada ya Mahakama nchini Kenya kupinga matokeo ya urais nchini humo,kupitia ukurasa wake wa Instagram rais Uhuru Kenyatta amesema wanaamini katika demokrasia na wako tayari kwa raundi ya pili ya uchaguzi.Ameongeza na kusema kuwa wanaamini katika amani na umoja wa nchini yao.
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment