Friday, 22 September 2017

HATA WEWE ZINAKUHUSU,JIONEE MAAJABU YA LEMMA GUYA GEMEDA.

Bila shaka ni wengi hatumfahamu Lemma Guya Gemeda,huyu ni mchoraji maarafu kutoka nchini Ethiopia.Lemma ana umri wa miaka 90 na amechora zaidi ya picha 10,000 ndani ya miaka zaidi ya sabini ambayo amekuwa akifanya kazi hii.Mzee huyu ni maarafu sana kutokana na picha zake ambazo huzichora kwenye ngozi zilizotoka kwa mbuzi au ng'ombe.
Hata picha hii ya mwanamke unayoiona amechora yeye.Kweli kipaji ni maarifa.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment