Friday, 18 August 2017

WANAFUNZI 22 WAPANDISHWA KIZIMBANI.

Wanafunzi wapatao 22 wa ya Shule ya Sekondari Mirambo ya Tabora wamepandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka 12 kwa kudaiwa kufanya uvamizi na kuwajeruhi watu 6.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment