Monday, 8 May 2017

UMATI WAFURIKA KUAGA MIILI YA MAREHEMU,ARUSHA.

Huzuni yatanda kwenye viwanja vya Sheikh Abeid Arusha huku umati wa watu ukifurika viwanjani hapo kwa lengo la kuaga miili ya wanafunzi waliofariki kwa ajali ya gari,May 6,2017.
Na:Esko Donald.

No comments:

Post a Comment