Aliyekuwa mzazi mwenzake na Zari the boss Lady Ivan Ssemwanga amefariki dunia alipokuwa amelazwa Hospitalini nchini Afrika Kusini kutokana na matatizo ya moyo.Ivan alifanikiwa kupata watoto wa tatu na Zari.Taarifa zaidi nitakujuza.
Esko Madia Team tungependa kutoa pole juu ya msiba huu.R.I.P Ivan
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment