Ilikuwa ni Novemba 2011 katika kitengo cha tiba ya figo Muhimbili tulishuhudia mtoto Ali aliyekuwa na umri wa miaka 13 kutoka Rufiji mkoani Pwani akifanyiwa upasuaji wa kuzibua mishipa ya damu.Zoezi hili liliendeshwa na madaktari wa kitengo cha tiba ya figo Muhimbili wakishirikiana na madaktari kutoka India.
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment