Shirika la Afya Duniani(WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa Ebola umezuka katika maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya kusemekana kuwa kuna vifo vya watu watatu waliohusishwa kufa kwa ugonjwa huo.Shirika hilo limeanza kuchukua hatua dhidi ya ugonjwa huo.
Na:Esko Donald.
No comments:
Post a Comment